Zaburi 109:31
Zaburi 109:31 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Maana atasimama mkono wa kuume wa mhitaji Amwokoe na wanaoihukumu nafsi yake.
Shirikisha
Soma Zaburi 109Zaburi 109:31 Biblia Habari Njema (BHN)
kwa maana yeye humtetea maskini, humwokoa wakati anapohukumiwa.
Shirikisha
Soma Zaburi 109