Zaburi 116:8-9
Zaburi 116:8-9 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa kuwa wewe, Ee BWANA, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa, ili niweze kutembea mbele za BWANA, katika nchi ya walio hai.
Shirikisha
Soma Zaburi 116Zaburi 116:8-9 Biblia Habari Njema (BHN)
Ameniokoa kifoni na kufuta machozi yangu; akanilinda nisije nikaanguka. Nitatembea mbele yake Mwenyezi-Mungu, katika nchi ya watu walio hai.
Shirikisha
Soma Zaburi 116