Zaburi 18:30
Zaburi 18:30 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Mungu, njia yake ni kamilifu, Ahadi ya BWANA imehakikishwa, Yeye ndiye ngao yao. Wote wanaomkimbilia.
Shirikisha
Soma Zaburi 18Zaburi 18:30 Biblia Habari Njema (BHN)
Huyu Mungu matendo yake hayana dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia usalama.
Shirikisha
Soma Zaburi 18