Zaburi 2:2-3
Zaburi 2:2-3 Biblia Habari Njema (BHN)
Wafalme wa dunia wanajitayarisha; watawala wanashauriana pamoja, dhidi ya Mwenyezi-Mungu na mteule wake. Wanasema: “Tujiondoe katika utawala wao; tutupilie mbali minyororo yao!”
Shirikisha
Soma Zaburi 2Zaburi 2:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake, Na tuvipasue vifungo vyao, Na kuzitupa mbali nasi kamba zao.
Shirikisha
Soma Zaburi 2