Zaburi 58:11
Zaburi 58:11 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Ndipo wanadamu watasema, “Hakika utulivu wa wenye haki bado una thawabu, hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.”
Shirikisha
Soma Zaburi 58Zaburi 58:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Watu wote watasema: “Naam, waadilifu hupata tuzo! Hakika yuko Mungu anayeihukumu dunia!”
Shirikisha
Soma Zaburi 58