Zaburi 95:6-7
Zaburi 95:6-7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Njoni, tuabudu, tusujudu, Tupige magoti mbele za BWANA aliyetuumba. Kwa maana ndiye Mungu wetu, Na sisi tu watu wa malisho yake, Na kondoo za mkono wake. Ingekuwa heri leo msikie sauti yake!
Shirikisha
Soma Zaburi 95Zaburi 95:6-7 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Njoni, tuabudu, tusujudu, Tupige magoti mbele za BWANA aliyetuumba. Kwa maana ndiye Mungu wetu, Na sisi tu watu wa malisho yake, Na kondoo za mkono wake. Ingekuwa heri leo msikie sauti yake!
Shirikisha
Soma Zaburi 95