Ufunuo 11:15
Ufunuo 11:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.
Shirikisha
Soma Ufunuo 11Ufunuo 11:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha, malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, “Sasa ufalme wa ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!”
Shirikisha
Soma Ufunuo 11