Ufunuo 11:3
Ufunuo 11:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nami nitawaruhusu mashahidi wangu wawili, nao watatoa unabii siku elfu na mia mbili na sitini, wakiwa wamevikwa magunia.
Shirikisha
Soma Ufunuo 11Ufunuo 11:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Nami nitawatuma mashahidi wangu wawili ili watoe unabii kwa muda huo wa siku 1,260, wakiwa wamevaa mavazi ya gunia.”
Shirikisha
Soma Ufunuo 11