1
Mattayo MT. 11:28
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye mizigo nami nitawapumzisha.
ஒப்பீடு
Mattayo MT. 11:28 ஆராயுங்கள்
2
Mattayo MT. 11:29
Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu
Mattayo MT. 11:29 ஆராயுங்கள்
3
Mattayo MT. 11:30
kwa maana nira yangu laini, na mzigo wangu mwepesi.
Mattayo MT. 11:30 ஆராயுங்கள்
4
Mattayo MT. 11:27
Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu: wala hakuna mtu amjuae Mwana, illa Baba; wala hakuna mtu amjuae Baba illa Mwana, na ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.
Mattayo MT. 11:27 ஆராயுங்கள்
5
Mattayo MT. 11:4-5
Yesu akajibu akawaambia, Enendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanakhubiriwa khabari njema.
Mattayo MT. 11:4-5 ஆராயுங்கள்
6
Mattayo MT. 11:15
Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.
Mattayo MT. 11:15 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்