1
Mattayo MT. 13:23
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Nae aliyepandwa penye udongo mwema, huyu ndive alisikiae lile neno, na kulifahamu; yeye ndiye azaae matunda, huyu mia, na huyu sittini, na huyu thelathini.
ஒப்பீடு
Mattayo MT. 13:23 ஆராயுங்கள்
2
Mattayo MT. 13:22
Nae aliyepandwa penye miiba, huyu ndiye alisikiae lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno, likawa halizai.
Mattayo MT. 13:22 ஆராயுங்கள்
3
Mattayo MT. 13:19
Killa alisikiae neno la ufalme asifahamu, huja yule mwovu, akaliteka lililopandwa moyoni mwake. Huyu ndiye aliyepandwa njiani.
Mattayo MT. 13:19 ஆராயுங்கள்
4
Mattayo MT. 13:20-21
Nae aliyepandwa penye miamba, huyu ndiye alisikiae lile neno, akalipokea marra kwa furaha; lakini hana mizizi udani yake, hukaa muda mchache; ikitukia shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.
Mattayo MT. 13:20-21 ஆராயுங்கள்
5
Mattayo MT. 13:44
Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyostirika katika shamba; mtu akaiona, akaificha; na kwa furaha yake akaenda akanza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile.
Mattayo MT. 13:44 ஆராயுங்கள்
6
Mattayo MT. 13:8
nyingine zikaanguka penye udongo mwema, zikazaa, hizi mia, hizi sittini, hizi thelathini.
Mattayo MT. 13:8 ஆராயுங்கள்
7
Mattayo MT. 13:30
Viacheni vyote vikue hatta wakati wa mavuno: na wakati wa mavuno nitawaambia wavimao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita, mkayachome; bali nganu ikusauyeni ghalani mwangu.
Mattayo MT. 13:30 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்