1
Yohana 8:12
BIBLIA KISWAHILI
Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
సరిపోల్చండి
Yohana 8:12 ని అన్వేషించండి
2
Yohana 8:32
tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Yohana 8:32 ని అన్వేషించండి
3
Yohana 8:31
Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli
Yohana 8:31 ని అన్వేషించండి
4
Yohana 8:36
Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.
Yohana 8:36 ని అన్వేషించండి
5
Yohana 8:7
Nao walipozidi kumhoji, aliinuka, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Yohana 8:7 ని అన్వేషించండి
6
Yohana 8:34
Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
Yohana 8:34 ని అన్వేషించండి
7
Yohana 8:10-11
Yesu akainuka asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; wala usitende dhambi tena.]
Yohana 8:10-11 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు