1
Mwanzo 14:20
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Na atukuzwe Mungu Mkuu, aliyewatia adui zako mikononi mwako!” Naye Abramu akampa Melkisedeki mchango wake sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo.
Порівняти
Дослідити Mwanzo 14:20
2
Mwanzo 14:18-19
Naye Melkisedeki, mfalme wa mji wa Salemu, ambaye alikuwa kuhani wa Mungu Mkuu, akaleta mkate na divai, akambariki Abramu akisema, “Abramu na abarikiwe na Mungu Mkuu, Muumba mbingu na dunia!
Дослідити Mwanzo 14:18-19
3
Mwanzo 14:22-23
Lakini Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu, aliyeumba mbingu na dunia, kwamba sitachukua uzi au kamba ya kiatu, wala chochote kilicho chako, usije ukajivuna na kusema kwamba umenitajirisha.
Дослідити Mwanzo 14:22-23
Головна
Біблія
Плани
Відео