Logo YouVersion
Eicon Chwilio

Mwanzo 1:26-27

Mwanzo 1:26-27 SCLDC10

Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Cynlluniau Darllen am ddim a Defosiynau yn ymwneud â Mwanzo 1:26-27