1
Luka 17:19
Swahili Revised Union Version
Akamwambia, Inuka, nenda zako, imani yako imekuokoa.
مقایسه
Luka 17:19 را جستجو کنید
2
Luka 17:4
Na kama akikukosea mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
Luka 17:4 را جستجو کنید
3
Luka 17:15-16
Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu; akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Luka 17:15-16 را جستجو کنید
4
Luka 17:3
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
Luka 17:3 را جستجو کنید
5
Luka 17:17
Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale tisa wako wapi?
Luka 17:17 را جستجو کنید
6
Luka 17:6
Bwana akasema, Kama mngekuwa na imani kiasi cha chembe ya haradali, mngeuambia mkuyu huu, Ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.
Luka 17:6 را جستجو کنید
7
Luka 17:33
Mtu yeyote atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza; na yeyote atakayeiangamiza ataiponya.
Luka 17:33 را جستجو کنید
8
Luka 17:1-2
Akawaambia wanafunzi wake, Vikwazo havina budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye vinakuja kwa sababu yake! Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
Luka 17:1-2 را جستجو کنید
9
Luka 17:26-27
Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.
Luka 17:26-27 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها