1
Luka 16:10
Swahili Revised Union Version
Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na asiyeaminika katika lililo dogo, huwa haaminiki pia katika lililo kubwa.
مقایسه
Luka 16:10 را جستجو کنید
2
Luka 16:13
Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana, ama atamchukia huyu na kumpenda huyu, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.
Luka 16:13 را جستجو کنید
3
Luka 16:11-12
Basi, kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya duniani, ni nani atakayewapa amana mali ya kweli? Na kama hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
Luka 16:11-12 را جستجو کنید
4
Luka 16:31
Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.
Luka 16:31 را جستجو کنید
5
Luka 16:18
Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini; naye amwoaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
Luka 16:18 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها