1
Luka 15:20
Swahili Revised Union Version
Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa bado mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu.
مقایسه
Luka 15:20 را جستجو کنید
2
Luka 15:24
kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.
Luka 15:24 را جستجو کنید
3
Luka 15:7
Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.
Luka 15:7 را جستجو کنید
4
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako
Luka 15:18 را جستجو کنید
5
Luka 15:21
Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena.
Luka 15:21 را جستجو کنید
6
Luka 15:4
Ni nani kwenu, mwenye kondoo mia, akipotewa na mmojawapo, asiyewaacha wale tisini na tisa nyikani, aende akamtafute yule aliyepotea hadi amwone?
Luka 15:4 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها