1
Marko 16:15
Swahili Revised Union Version
Akawaambia, Nendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
مقایسه
Marko 16:15 را جستجو کنید
2
Marko 16:17-18
Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.
Marko 16:17-18 را جستجو کنید
3
Marko 16:16
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Marko 16:16 را جستجو کنید
4
Marko 16:20
Nao wale wakatoka, wakahubiri kotekote, Bwana akitenda kazi pamoja nao, na kulithibitisha lile neno kwa ishara zilizofuatana nalo.]
Marko 16:20 را جستجو کنید
5
Marko 16:6
Naye akawaambia, Msistaajabu; mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulubiwa; amefufuka; hayupo hapa; patazameni mahali walipomweka.
Marko 16:6 را جستجو کنید
6
Marko 16:4-5
Hata walipotazama, waliona ya kuwa lile jiwe limekwisha kuvingirishwa; nalo lilikuwa kubwa mno. Wakaingia kaburini wakaona kijana akiwa ameketi upande wa kulia, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu.
Marko 16:4-5 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها