1
Marko 15:34
Swahili Revised Union Version
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
مقایسه
Marko 15:34 را جستجو کنید
2
Marko 15:39
Basi yule kamanda, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Marko 15:39 را جستجو کنید
3
Marko 15:38
Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hadi chini.
Marko 15:38 را جستجو کنید
4
Marko 15:37
Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Marko 15:37 را جستجو کنید
5
Marko 15:33
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hadi saa tisa.
Marko 15:33 را جستجو کنید
6
Marko 15:15
Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.
Marko 15:15 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها