1
Yohana MT. 8:12
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Bassi Yesu akanena nao tena, akisema. Mimi ni nuru ya ulimwengu; anifuatae hatakwenda katika giza kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
مقایسه
Yohana MT. 8:12 را جستجو کنید
2
Yohana MT. 8:32
tena mtaifahamu kweli, nayo kweli itawaweka huru.
Yohana MT. 8:32 را جستجو کنید
3
Yohana MT. 8:31
Bassi Yesu akawaamhia Wayahudi wale waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mu wanafunzi wangu kweli kweli
Yohana MT. 8:31 را جستجو کنید
4
Yohana MT. 8:36
Bassi Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.
Yohana MT. 8:36 را جستجو کنید
5
Yohana MT. 8:7
Nao wakazidi kumhoji, akajiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Yohana MT. 8:7 را جستجو کنید
6
Yohana MT. 8:34
Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambieni, Killa atendae dhambi, ni mtumwa wa dhambi.
Yohana MT. 8:34 را جستجو کنید
7
Yohana MT. 8:10-11
Yesu akajiinua asimwone mtu illa yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Hapana aliyekuhukumu? Akamwambia, Hapana Bwana. Yesu akamwambia, Nami sikuhukumu. Enenda, wala usitende dhambi tena.
Yohana MT. 8:10-11 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها