1
Marko MT. 15:34
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Na saa tissa Yesu akapiga kelele kwa sauti kuu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? tafsiri yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
مقایسه
Marko MT. 15:34 را جستجو کنید
2
Marko MT. 15:39
Bassi yule akida, aliyesimama akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa, Mwana wa Mungu.
Marko MT. 15:39 را جستجو کنید
3
Marko MT. 15:38
Pazia la patakatifu likapasuka vipande viwili toka juu hatta chini.
Marko MT. 15:38 را جستجو کنید
4
Marko MT. 15:37
Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Marko MT. 15:37 را جستجو کنید
5
Marko MT. 15:33
Ilipokuwa saa sita, pakawa na giza juu ya inchi yote, hatta saa tissa.
Marko MT. 15:33 را جستجو کنید
6
Marko MT. 15:15
Pilato akapenda kuwafanyia radhi makutano, akawafungulia Barabba: akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, asulibiwe.
Marko MT. 15:15 را جستجو کنید