Logo YouVersion
BibPlan yoVideyo
Pran aplikasyon an
Seleksyone Lang
Chache Icon

Vèsè popilè nan Bib la ki soti nan Mattayo MT. 12

1

Mattayo MT. 12:36-37

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Konpare

Eksplore Mattayo MT. 12:36-37

2

Mattayo MT. 12:34

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.

Konpare

Eksplore Mattayo MT. 12:34

3

Mattayo MT. 12:35

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa mema: na mtu mbaya katika hazina yake mbaya hutoa mabaya

Konpare

Eksplore Mattayo MT. 12:35

4

Mattayo MT. 12:31

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Kwa sababu hii nawaambieni, Killa dhambi na killa neno la kufuru watasamehewa wana Adamu, bali kumtukana Roho hawatasamehewa wana Adamu.

Konpare

Eksplore Mattayo MT. 12:31

5

Mattayo MT. 12:33

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.

Konpare

Eksplore Mattayo MT. 12:33

Chapit Avan yo
Chapit suivan
YouVersion

Ankouraje ak defi pou w chèche entimite ak Bondye chak jou.

Ministè

Apwopo

Karyè yo

Volontè

Blòg

Peze

Lyen itil yo

Ed

Fè yon don

Vèsyon Bib yo

Odyo Bib yo

Diferan Lang yo nan Bib la

Vèsè Jodi a


Yon Ministè Digital nan

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Politik PriveTèm yo
Pwogram Divilgasyon Vilnerabilite
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Akèy

Bib

Plan yo

Videyo