1
Luka 23:34
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Halafu Yesu akasema: “Baba uwasamehe, kwa maana hawajui jambo wanalofanya.” Waaskari wakagawanya nguo zake kwa kuzipigia kura.
Összehasonlít
Fedezd fel: Luka 23:34
2
Luka 23:43
Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia wewe: leo hii utakuwa pamoja nami katika Paradizo.”
Fedezd fel: Luka 23:43
3
Luka 23:42
Na akaongeza kusema: “Ee Yesu, usinisahau wakati utakapokuja katika ufalme wako!”
Fedezd fel: Luka 23:42
4
Luka 23:46
Yesu akalalamika kwa sauti kubwa akisema: “Baba, ninatoa uzima wangu kwako.” Kisha kusema maneno haya, akakata roho.
Fedezd fel: Luka 23:46
5
Luka 23:33
Walipowafikisha kwenye pahali palipoitwa “Kilima cha Mufupa wa Kichwa,” wakamutundika Yesu juu ya musalaba. Vilevile walitundika wale watenda maovu, mumoja kwa upande wa kuume wa Yesu na mwingine kwa upande wa kushoto.
Fedezd fel: Luka 23:33
6
Luka 23:44-45-44-45
Ilikuwa karibu na saa sita ya muchana, jua likafifia, kukakuwa giza katika inchi yote mpaka saa tisa. Pazia la hekalu likapasuka katikati.
Fedezd fel: Luka 23:44-45-44-45
7
Luka 23:47
Mukubwa wa waaskari alipoona mambo yale yaliyotokea, akamusifu Mungu, akisema: “Hakika mutu huyu alikuwa mwenye haki!”
Fedezd fel: Luka 23:47
Kezdőoldal
Biblia
Tervek
Videók