1
Yohana 5:24
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
“Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini na kuingia uzimani.
Mampitaha
Mikaroka Yohana 5:24
2
Yohana 5:6
Isa alipomwona akiwa amelala hapo, na akijua amekuwa katika hali hiyo kwa muda mrefu, akamwambia, “Je, wataka kuponywa?”
Mikaroka Yohana 5:6
3
Yohana 5:39-40
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele. Maandiko haya ndio yanayonishuhudia mimi. Lakini mnakataa kuja kwangu ili mpate uzima.
Mikaroka Yohana 5:39-40
4
Yohana 5:8-9
Isa akamwambia, “Inuka! Chukua mkeka wako na uende.” Mara yule mtu akapona, akachukua mkeka wake, akaanza kutembea. Basi siku hiyo ilikuwa siku ya Sabato.
Mikaroka Yohana 5:8-9
5
Yohana 5:19
Isa akawaambia, “Amin, amin nawaambia, Mwana hawezi kufanya jambo lolote peke yake. Yeye aweza tu kufanya lile analomwona Baba yake akifanya, kwa maana lolote afanyalo Baba, Mwana pia hufanya vivyo hivyo.
Mikaroka Yohana 5:19
Fidirana
Baiboly
Planina
Horonan-tsary