1
Mwanzo 46:3
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kwenda Misri; utakapokuwa huko, nitakufanya uwe taifa kubwa.
താരതമ്യം
Mwanzo 46:3 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Mwanzo 46:4
Mimi mwenyewe nitakwenda pamoja nawe huko Misri na kukurudisha huku. Utakapofariki, mkono wa Yosefu ndio utakaoyafumba macho yako.”
Mwanzo 46:4 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Mwanzo 46:29
Yosefu akapanda gari lake la farasi, akaenda kumlaki Israeli, baba yake, huko Gosheni. Alipomfikia baba yake, alimkumbatia na kulia kwa kitambo kirefu.
Mwanzo 46:29 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Mwanzo 46:30
Israeli akamwambia Yosefu, “Hata nikifa sasa si kitu kwa kuwa nimeuona uso wako na kujua kwamba wewe u hai!”
Mwanzo 46:30 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക