1
Mwanzo 45:5
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Lakini sasa msifadhaike wala kujilaumu kwa kuniuza. Mungu ndiye aliyenileta huku niwatangulie, ili niyaokoe maisha ya watu.
താരതമ്യം
Mwanzo 45:5 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Mwanzo 45:8
Kwa hiyo, si nyinyi mlionileta huku, bali ni Mungu. Ndiye aliyenifanya kama baba kwa Farao, msimamizi wa nyumba yake yote na mtawala wa nchi yote ya Misri.
Mwanzo 45:8 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Mwanzo 45:7
Mungu alinileta huku niwatangulie, ili kusalimisha maisha yenu mbaki hai nchini na kuwakomboa kwa ukombozi mkubwa.
Mwanzo 45:7 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Mwanzo 45:4
Yosefu akawaambia ndugu zake, “Tafadhali, sogeeni karibu nami.” Walipomkaribia, akawaambia, “Mimi ndiye ndugu yenu Yosefu, mliyemwuza Misri.
Mwanzo 45:4 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Mwanzo 45:6
Huu ni mwaka wa pili tu wa njaa nchini, na bado kuna miaka mitano zaidi ambapo watu hawataweza kulima wala kuvuna mavuno.
Mwanzo 45:6 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Mwanzo 45:3
Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ni Yosefu. Je, baba yangu angali hai?” Lakini ndugu zake wakapigwa na bumbuazi mbele yake, hata wakashindwa kumjibu.
Mwanzo 45:3 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക