1
Mwanzo 14:20
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Atukuzwe Mungu Mukubwa, aliyetia waadui zako katika mikono yako!” Naye Abramu akamupa Melkisedeki sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo.
Comparar
Explorar Mwanzo 14:20
2
Mwanzo 14:18-19
Naye Melkisedeki, mufalme wa muji wa Salemu, ambaye alikuwa kuhani wa Mungu Mukubwa, akaleta mukate na divai, akamubariki Abramu akisema: “Abramu abarikiwe na Mungu Mukubwa, Muumba wa mbingu na dunia!
Explorar Mwanzo 14:18-19
3
Mwanzo 14:22-23
Lakini Abramu akamwambia mufalme wa Sodoma: “Ninaapa kwa Yawe, Mungu Mukubwa, aliyeumba mbingu na dunia, kwamba sitatwaa uzi au kamba ya kiatu, wala chochote kinachokuwa chako, kusudi usijivune na kusema kwamba umenitajirisha.
Explorar Mwanzo 14:22-23
Início
Bíblia
Planos
Vídeos