1
1 Wakorintho 10:13
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Hakuna jaribu lolote lililowapata ambalo si la kawaida kwa wanadamu. Naye Mungu ni mwaminifu; hataruhusu mjaribiwe kupita mnavyoweza. Lakini mnapojaribiwa atawapa njia ya kushinda ili mweze kustahimili.
Linganisha
Chunguza 1 Wakorintho 10:13
2
1 Wakorintho 10:31
Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
Chunguza 1 Wakorintho 10:31
3
1 Wakorintho 10:12
Hivyo, yeye ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.
Chunguza 1 Wakorintho 10:12
4
1 Wakorintho 10:23
“Vitu vyote ni halali,” lakini si vitu vyote vilivyo na faida. “Vitu vyote ni halali,” lakini si vyote vinavyojenga.
Chunguza 1 Wakorintho 10:23
5
1 Wakorintho 10:24
Mtu yeyote asitafute yaliyo yake mwenyewe, bali kila mtu atafute yale yanayowafaa wengine.
Chunguza 1 Wakorintho 10:24
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video