1
1 Wafalme 11:4
Neno: Bibilia Takatifu
Kadiri Solomoni alivyozidi kuzeeka, wake zake wakaugeuza moyo wake kuelekea miungu mingine, na moyo wake haukujitolea kikamilifu kwa BWANA Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
Linganisha
Chunguza 1 Wafalme 11:4
2
1 Wafalme 11:9
BWANA akamkasirikia Solomoni kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na BWANA, Mungu wa Israeli, ambaye alikuwa amemtokea mara mbili.
Chunguza 1 Wafalme 11:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video