1
2 Wakorintho 10:5
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Tunaangusha mawazo na kila kitu kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na kuteka nyara kila fikira ipate kumtii Al-Masihi.
Linganisha
Chunguza 2 Wakorintho 10:5
2
2 Wakorintho 10:4
Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome.
Chunguza 2 Wakorintho 10:4
3
2 Wakorintho 10:3
Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
Chunguza 2 Wakorintho 10:3
4
2 Wakorintho 10:18
Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Mwenyezi Mungu humsifu.
Chunguza 2 Wakorintho 10:18
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video