1
2 Wakorintho 7:10
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwa maana huzuni ya kiungu huleta toba iletayo wokovu, wala haina majuto. Lakini huzuni ya kidunia husababisha mauti.
Linganisha
Chunguza 2 Wakorintho 7:10
2
2 Wakorintho 7:1
Wapendwa, kwa kuwa tunazo ahadi hizi, basi na tujitakase nafsi zetu kutokana na kila kitu kitiacho mwili na roho unajisi, tukitimiza utakatifu kwa kumcha Mungu.
Chunguza 2 Wakorintho 7:1
3
2 Wakorintho 7:9
Lakini sasa nina furaha, si kwa sababu mlihuzunika, bali kwa kuwa huzuni hiyo iliwafanya mtubu. Kwa maana mlihuzunishwa kama Mungu alivyokusudia watu wahuzunike, na hivyo sisi hatukuwadhuru kwa njia yoyote.
Chunguza 2 Wakorintho 7:9
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video