Kwa hiyo,
“Tokeni miongoni mwao,
mkatengwe nao,
asema Mwenyezi Mungu.
Msiguse kitu chochote kilicho najisi,
nami nitawakaribisha.”
Na,
“Mimi nitakuwa Baba kwenu,
nanyi mtakuwa wanangu wa kiume na wa kike,
asema Mwenyezi Mungu,
Mungu wa majeshi ya mbinguni.”