1
Mhubiri 7:9
Neno: Bibilia Takatifu
Usiwe mwepesi kukasirika rohoni mwako, kwa kuwa hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
Linganisha
Chunguza Mhubiri 7:9
2
Mhubiri 7:14
Nyakati zikiwa nzuri, ufurahi, lakini nyakati zikiwa mbaya, tafakari: Mungu amefanya hiyo moja, naam, sanjari na hiyo nyingine. Kwa hiyo, mwanadamu hawezi kugundua kitu chochote kuhusu maisha yake ya baadaye.
Chunguza Mhubiri 7:14
3
Mhubiri 7:8
Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake, uvumilivu ni bora kuliko kiburi.
Chunguza Mhubiri 7:8
4
Mhubiri 7:20
Hakuna mtu mwenye haki duniani ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi.
Chunguza Mhubiri 7:20
5
Mhubiri 7:12
Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi, lakini faida ya maarifa ni hii: kwamba hekima huhifadhi maisha ya aliye nayo.
Chunguza Mhubiri 7:12
6
Mhubiri 7:1
Afadhali sifa nzuri kuliko manukato safi, nayo siku ya kufa kuliko ya kuzaliwa.
Chunguza Mhubiri 7:1
7
Mhubiri 7:5
Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima, kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.
Chunguza Mhubiri 7:5
8
Mhubiri 7:2
Afadhali kwenda kwenye nyumba ya msiba kuliko kwenda kwenye nyumba ya karamu, kwa kuwa kifo ni hatima ya kila mwanadamu, imewapasa walio hai kuliweka hili mioyoni mwao.
Chunguza Mhubiri 7:2
9
Mhubiri 7:4
Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya anasa.
Chunguza Mhubiri 7:4
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video