1
Isaya 39:8
Neno: Bibilia Takatifu
Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la BWANA ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Patakuwepo amani na usalama wakati wa uhai wangu.”
Linganisha
Chunguza Isaya 39:8
2
Isaya 39:6
Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema BWANA.
Chunguza Isaya 39:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video