1
Isaya 39:8
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la Mwenyezi Mungu ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Kutakuwa amani na usalama wakati wa uhai wangu.”
Linganisha
Chunguza Isaya 39:8
2
Isaya 39:6
Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba hadi siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema Mwenyezi Mungu.
Chunguza Isaya 39:6
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video