1
Hesabu 12:8
Neno: Bibilia Takatifu
Kwake nitanena naye uso kwa uso, waziwazi wala si kwa mafumbo; yeye ataona umbo la BWANA. Kwa nini basi ninyi hamkuogopa kuzungumza kinyume cha mtumishi wangu Mose?”
Linganisha
Chunguza Hesabu 12:8
2
Hesabu 12:3
(Basi Mose alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)
Chunguza Hesabu 12:3
3
Hesabu 12:6
BWANA akasema, “Sikilizeni maneno yangu: “Akiwapo nabii wa BWANA miongoni mwenu, nitajifunua kwake kwa maono, nitanena naye katika ndoto.
Chunguza Hesabu 12:6
4
Hesabu 12:7
Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Mose; yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote.
Chunguza Hesabu 12:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video