1
Zaburi 125:1
Neno: Bibilia Takatifu
Wale wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
Linganisha
Chunguza Zaburi 125:1
2
Zaburi 125:2
Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo BWANA anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Chunguza Zaburi 125:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video