1
Zaburi 6:9
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mwenyezi Mungu amesikia kilio changu kwa huruma, Mwenyezi Mungu amekubali sala yangu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 6:9
2
Zaburi 6:2
Unirehemu Mwenyezi Mungu, kwa maana nimedhoofika; Ee Mwenyezi Mungu, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
Chunguza Zaburi 6:2
3
Zaburi 6:8
Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Mwenyezi Mungu amesikia kulia kwangu.
Chunguza Zaburi 6:8
4
Zaburi 6:4
Geuka, Ee Mwenyezi Mungu, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
Chunguza Zaburi 6:4
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video