1
Zaburi 5:12
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwa hakika, Ee Mwenyezi Mungu, unawabariki wenye haki, unawazunguka kwa wema wako kama ngao.
Linganisha
Chunguza Zaburi 5:12
2
Zaburi 5:3
Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee Mwenyezi Mungu; asubuhi naleta haja zangu mbele zako, na kusubiri kwa matumaini.
Chunguza Zaburi 5:3
3
Zaburi 5:11
Lakini wote wanaokimbilia kwako na wafurahi, waimbe kwa shangwe daima. Ueneze ulinzi wako juu yao, ili wale wanaolipenda jina lako wapate kukushangilia.
Chunguza Zaburi 5:11
4
Zaburi 5:8
Niongoze katika haki yako, Ee Mwenyezi Mungu, kwa sababu ya adui zangu, nyoosha njia yako mbele yangu.
Chunguza Zaburi 5:8
5
Zaburi 5:2
Sikiliza kilio changu ili unisaidie, Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa maana kwako ninaomba.
Chunguza Zaburi 5:2
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video