1
2 Fal 7:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Elisha akasema, Lisikieni neno la BWANA; BWANA asema hivi, Kesho panapo saa hii, kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, langoni pa Samaria.
Linganisha
Chunguza 2 Fal 7:1
2
2 Fal 7:3
Basi walikuwapo watu wanne wenye ukoma, penye lango la mji; wakasemezana, Mbona tunakaa hapa hata tufe?
Chunguza 2 Fal 7:3
3
2 Fal 7:2
Basi yule akida, ambaye mfalme alikuwa akitegemea mkono wake, akamjibu yule mtu wa Mungu, akasema, Tazama, kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, je! Jambo hili lingewezekana? Akamwambia, Angalia, wewe utaliona kwa macho yako, lakini hutakula.
Chunguza 2 Fal 7:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video