1
Amo 6:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na hao wanaokaa salama katika mlima wa Samaria, watu mashuhuri wa taifa lililo la kwanza, ambao nyumba ya Israeli huwaendea.
Linganisha
Chunguza Amo 6:1
2
Amo 6:6
ninyi mnaokunywa divai katika mabakuli, na kujipaka marhamu iliyo nzuri; lakini hawahuzuniki kwa sababu ya mateso ya Yusufu.
Chunguza Amo 6:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video