1
Mhu 10:10
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Iwapo chuma hakipati, wala mtu hakinoi; Ndipo hana budi kutumia nguvu zaidi. Walakini yafaa kutumia hekima, na kufanikiwa.
Linganisha
Chunguza Mhu 10:10
2
Mhu 10:4
Roho yake mtawala ikiinuka kinyume chako, Usiondoke mara mahali pako ulipo; Kwa maana roho ya upole hutuliza machukizo yaliyo makubwa.
Chunguza Mhu 10:4
3
Mhu 10:1
Mainzi mafu huvundisha marhamu ya mwuza marashi; Kadhalika upumbavu haba ni mzito kuliko hekima na heshima.
Chunguza Mhu 10:1
4
Mhu 10:12
Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.
Chunguza Mhu 10:12
5
Mhu 10:8
Mwenye kuchimba shimo atatumbukia ndani yake; Na yeye abomoaye boma, nyoka atamwuma.
Chunguza Mhu 10:8
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video