1
Mhu 4:9-10
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Maana wapata ijara njema kwa kazi yao. Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
Linganisha
Chunguza Mhu 4:9-10
2
Mhu 4:12
Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watampinga; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.
Chunguza Mhu 4:12
3
Mhu 4:11
Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?
Chunguza Mhu 4:11
4
Mhu 4:6
Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu; na kujilisha upepo.
Chunguza Mhu 4:6
5
Mhu 4:4
Tena nikafikiri amali zote, na kila kazi ya ustadi, ya kwamba inatoka katika mtu kupingana na mwenzake. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.
Chunguza Mhu 4:4
6
Mhu 4:13
Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Chunguza Mhu 4:13
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video