1
Zab 23:4
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
Linganisha
Chunguza Zab 23:4
2
Zab 23:1
BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.
Chunguza Zab 23:1
3
Zab 23:6
Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.
Chunguza Zab 23:6
4
Zab 23:2-3
Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
Chunguza Zab 23:2-3
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video