1
1 Wafalme 16:31
Swahili Revised Union Version
Ikawa, kama ingalikuwa neno dogo tu kuyaendea makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, akaenda akamtumikia Baali, akamsujudia.
Linganisha
Chunguza 1 Wafalme 16:31
2
1 Wafalme 16:30
Ahabu mwana wa Omri akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA kuliko wote waliomtangulia.
Chunguza 1 Wafalme 16:30
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video