1
2 Wafalme 18:5
Swahili Revised Union Version
Alimtumaini BWANA, Mungu wa Israeli; hata baada yake hapakuwa na mfano wake katika wafalme wote wa Yuda, wala katika hao waliomtangulia.
Linganisha
Chunguza 2 Wafalme 18:5
2
2 Wafalme 18:6
Maana alishikamana na BWANA, hakuacha kumfuata, bali alizishika amri zake BWANA alizomwamuru Musa.
Chunguza 2 Wafalme 18:6
3
2 Wafalme 18:7
Naye BWANA akawa pamoja naye, kila alikokwenda alifanikiwa; tena alimwasi mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.
Chunguza 2 Wafalme 18:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video