1
Zaburi 119:105
Swahili Revised Union Version
Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 119:105
2
Zaburi 119:11
Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.
Chunguza Zaburi 119:11
3
Zaburi 119:9
Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako.
Chunguza Zaburi 119:9
4
Zaburi 119:2
Heri wazitiio shuhuda zake, Wamtafutao kwa moyo wote.
Chunguza Zaburi 119:2
5
Zaburi 119:114
Ndiwe sitara yangu na ngao yangu, Neno lako nimelingojea.
Chunguza Zaburi 119:114
6
Zaburi 119:34
Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.
Chunguza Zaburi 119:34
7
Zaburi 119:36
Unielekeze moyo wangu katika shuhuda zako, Wala usiielekee tamaa.
Chunguza Zaburi 119:36
8
Zaburi 119:71
Ilikuwa vema kwangu kuwa niliteswa, Nipate kujifunza amri zako.
Chunguza Zaburi 119:71
9
Zaburi 119:50
Hii ndiyo faraja yangu katika taabu yangu, Ya kwamba ahadi yako imenipa moyo.
Chunguza Zaburi 119:50
10
Zaburi 119:35
Uniendeshe katika mapito ya amri zako, Kwa maana nimependezwa nayo.
Chunguza Zaburi 119:35
11
Zaburi 119:33
Ee BWANA, unifundishe njia ya amri zako, Nami nitaishika hadi mwisho.
Chunguza Zaburi 119:33
12
Zaburi 119:28
Nafsi yangu imeyeyuka kwa huzuni, Unitie nguvu sawasawa na neno lako.
Chunguza Zaburi 119:28
13
Zaburi 119:97
Sheria yako naipenda mno ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa.
Chunguza Zaburi 119:97
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video