1
Ufunuo 15:4
Swahili Revised Union Version
Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.
Linganisha
Chunguza Ufunuo 15:4
2
Ufunuo 15:1
Kisha nikaona ishara nyingine katika mbingu, iliyo kubwa, na ya ajabu; malaika saba wenye mapigo saba ya mwisho; maana katika hayo ghadhabu ya Mungu imetimia.
Chunguza Ufunuo 15:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video