1
Matendo 24:16
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Nami ninajizoeza katika neno hili kuwa na dhamiri isiyo na khatiya mbele ya Mungu na mbele ya watu.
Linganisha
Chunguza Matendo 24:16
2
Matendo 24:25
Na Paolo alipokuwa akitoa hoja zake katika khabari ya haki na kiasi na hukumu itakayokuja, Feliki akafanya khofu akajihu, Sasa enenda zako, nami nikipata wasaa nitakuita tena.
Chunguza Matendo 24:25
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video