1
Zaburi 50:14-15
Biblia Habari Njema
Shukrani iwe ndio tambiko yako kwa Mungu mtimizie Mungu Aliye Juu ahadi zako. Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utaniheshimu.”
Linganisha
Chunguza Zaburi 50:14-15
2
Zaburi 50:10-11
maana wanyama wote porini ni mali yangu, na maelfu ya wanyama milimani ni wangu. Ndege wote wa mwitu ni mali yangu, na viumbe vyote hai mashambani ni vyangu.
Chunguza Zaburi 50:10-11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video