Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 9:25-26

1 Wakorintho 9:25-26 NEN

Kila mmoja anayeshiriki katika mashindano hufanya mazoezi makali. Wao hufanya hivyo ili wapokee taji isiyodumu, lakini sisi tunafanya hivyo ili kupata taji idumuyo milele. Kwa hiyo mimi sikimbii kama mtu akimbiaye bila lengo, sipigani kama mtu anayepiga hewa

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 9:25-26